• Home

SwahilizoneTz

  • Mwanzo
  • Tanzania
  • Afrika Mashariki
  • Kimataifa
    • Bara
      • Afrika
      • Anwani zetu
      • Asia
      • Ulaya
      • Ocenia
    • Ulinzi na Amani
    • Maendeleo
    • Afya
  • Takwimu
  • Matukio
  • michezo
  • sheria
  • Makala
  • Zaidi
    • Ripoti Maalum
    • City FM Radio
    • Picha
    • Washirika
  • Afya
Showing posts with label Amani na Ulinzi. Show all posts
Waandamanaji wakipinga vifo vya wahamiaji wanaovuka bahari ya shamu kwenda Ulaya
Makundi ya kupigania haki za kibinadamu yamesema kuwa mikakati ilioafikiwa na muungano wa ulaya kuzuia idadi kubwa ya wahamiaji wanaojaribu kuvuka hadi Ulaya kutoka Afrika sio ufumbuzi wa tatizo hilo
.
Katika kikao cha dharura kilichofanyika mjini Brussels siku ya alhamisi, Viongozi wa Ulaya walikubaliana kuongeza msaada wao mara tatu ili kuimarisha usakaji na uokozi wa wahamiaji katika bahari ya shamu.
Pia waliidhinisha mikakati ya kukamata na kuharibu vyombo vinavyotumiwa kuwasafirisha wahamiaji hao.
Lakini Shirika la Human Rights Watch pamoja na lile la kuwasaidia watoto la Save the Children, yanasema kuwa EU inafaa kuongeza juhudi zake katika uokoaji badala ya kullinda mipaka yake.
Mkutano huo uliitishwa baada ya zaidi ya watu 800 kuuawa wikendi iliopita baada ya boti yao kuzama.

Mshirikishe mwenz

Polisi nchini Somalia wanasema kuwa takriban watu Saba wameuawa kwenye shambulizi lililolenga gari la Umoja wa Mataifa katika eno linalojisimamia la Puntland
Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta, ametoa wito kwa jamii ya kimataifa kuungana kwa pamoja katika vita dhidi ya ugaidi na misimamo mikali. Akizungumza kwenye mkutano wa kimataifa wa usalama nchini Ethiopia, Rais uhuru Kenyata
Kundi la waasi wa M23 katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo linaituhumu serikali ya nchi hiyo kwa kukiuka sheria ya msamaha kwa waasi wa kundi hilo.
Taarifa iliyotolewa na Tawi la Kisiasa la kundi la M23 imesisitiza kwamba serikali ya Kongo kabla ya kutangaza msamaha, ilitoa orodha ya majina ya mamia ya wanachama wa kundi hilo akiwemo Jenerali Sultani Makenga na baadhi ya makamanda wengine wa kundi hiyo, na kueleza kwamba watu hao hawana sifa za kupewa msamaha. Taarifa hiyo imeeleza kuwa, hatua ya kutayarishwa orodha hiyo inakinzana waziwazi na taarifa ya pamoja iliyotolewa Nairobi, Kenya  pamoja na msamaha waliopewa waasi wa kundi hilo.
Inafaa kuashiria hapa kuwa, mwezi Februari mwaka huu, Rais Joseph Kabila wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo alitangaza msamaha kwa waasi wote wa kundi la M23, isipokuwa wale waliotenda jinai za kivita na zilizo dhidi ya binadamu.
Uchunguzi wa kina wa Swahilizone umethibitisha kuwa baadhi ya wakazi wa mpaka wa Niger na Nigeria wamekuwa wakishirikiana na wapiganaji wa Boko Haram ili walipwe pesa.
Nchi zilizo jirani na Nigeria, kama Niger, Cameroon, na Chad zinahofia kuwa harakati za wanamgambo hao zitaathiri usalama wa nchi hizo.
Kulingana na Thomas Fessy ambaye amekuwa akiongoza uchunguzi huo akiwa eneo la Diffa kusini mashariki mwa Niger katika mpaka na Nigeria, wanachama wa genge hilo ambao wengi wao ni vijana walio na umri wa miaka kati ya 20 na 25 wameiambia BBC kuuwa vikundi vyao vitano vimeshajiunga na Boko Haram; na wawili tayari walishauawa katika operation walizojihusisha nazo.
Mpaka kati ya Niger na Nigeria.
Wanadai Boko Haram waliwapa dollar 3,000 ndio wajiunge nao.
Lakini wamesisitiza wao hawana haja na kupigania uwepo wa sheria za kiislamu , haja yao ni hizo pesa.
Maafisa wa usalama katika eneo hilo wanasema wamemudu kuzuia mashambulio kadhaa katika kipindi cha mwezi mmoja uliopita na watu kadhaa wanaoaminika kuwa na uhusiano na Boko Haram wamekamatwa.
Ni dhahiri kuwa Boko Haram wanaendeleza vitendo vyao vya kikatili hadi kuvuka mpaka wa Nigeria.
Umoja wa mataifa unasema tayari watu wapatao 50,000 washavuka mpaka kuingia Niger kujaribu.
Kumekuwa na Malumbano baina ya Ukraine na Urusi katika Umoja wa Mataifa huku kila upande ukimshutumu mwenzake kuwa gaidi
Baraza la Usalama la Umoja wa mataifa limepiga kura kwa kauli moja kutuma kikosi kipya cha wanajeshi wa kulinda amani katika Jamhuri ya Afrika ya Kati-kikosi hicho kitawajumuisha wanajeshi karibu alfu kumi na mbili.
Marekani imelaani kile imekitaja kuwa hatua ya Urusi kutumia kaiwi kama chombo cha kuishurutisha Ukraine.
Madaktari wa idara ya afya ya akili mkoani mwanza jana wameazimisha siku ya kifafa duniani
inayoadhimishwa tarehe 26 march kila mwaka duniani kote.Akizungumza na wanahabari daktari mkuu wa idara ya afya ya akili katika hosptari ya rufaa ya BUGANDO(BMC)
Matukio ya kukamatwa kwa Watanzania nchini China kwa kesi za biashara ya dawa za kulevya yana idadi kubwa sana ndani ya hii miaka mitano iliyopita
ESHI la Polisi Kikosi cha Kupambana na Dawa za Kulevya limemtia mbaroni askari wa Kikosi cha KMKM, Hussein Soud Hussein (30) baada ya kukamatwa na dawa za kulevya jumla ya kete 270 katika eneo la Darajabovu mjini Zanzibar.
Naibu Mkurugenzi wa Makosa ya Upelelezi na Makosa ya Jinai Yussuf Ilembo alithibitisha kukamatwa kwa askari huyo na kusema inasikitisha sana kuona askari ambaye ndio tegemeo la kupambana na vita dhidi ya dawa za kulevya anajishughulisha na biashara hiyo haramu.
Mkuu wa Jeshi la Polisi Zanzibar, Kamishna Mussa Ali Mussa

“Ni kweli tumemkamata kijana mmoja Hussein Soud Hussein ambaye baada ya kumfanyia usaili alikiri na kuthibitisha kwamba yeye ni askari wa Kikosi cha KMKM na tuliona kitambulisho chake,” alisema Ilembo.
Ilembo alisema askari huyo alikamatwa ikiwa sehemu ya msako unaoendelea wa Jeshi la Polisi pamoja na Kikosi cha Kupambana na Dawa za Kulevya kuwatafuta wauzaji na wasambazaji wa dawa hizo.
Kukamatwa kwa askari huyo kunatokana na taarifa kutoka kwa raia wema ambao walichukizwa na tabia yake ya kufanya biashara ya dawa za kulevya wakati akiwa askari wa ulinzi.
Alisema kwa sasa Polisi wapo katika doria endelevu ya kuwatafuta vijana wanaofanya biashara ya dawa za kulevya katika maeneo ya mjini na vijijini.
Taarifa zaidi ziliopo sasa kwa mujibu wa Jeshi la Polisi ni kwamba biashara ya dawa za kulevya hufanywa zaidi vijijini kutokana na msako wa Polisi Jamii ulioshamiri mjini ambao hautoi nafasi kwa wafanyabiashara hao kufanya kazi zao kwa ufanisi mkubwa.
Chanzo: Habari Leo
WANAWAKE DAY


KAULI MBIU YA MWAKA 2014




CHOCHOEA MABADILIKO KULETA USAWA WA KIJINSIA


Afisa Jinsia wa Chama Cha Waandishi wa Habari wa kupiga vita madawa ya kulevya (OJADACT) Shani Saidi Amanzi amewataka wanawake siku hiyo iwe ni siku pekee ya kuonyesha uelewa wao mjini tu bali waweze kuwakumbuka na wanawake walio vijijini .
Shani amesema wanawake wengi kwa sasa wanaupeo mkubwa wa mambo mbalimbali na wanajitambua mfano mzuri ni bunge la katiba pia usawa wa wanawake na wanaume umetendeka kuwepo bungeni.
Aidha sakata kubwa linalowapa doa wanawake kwa sasa ni matumizi ya madawa ya kulevya ambapo kwa tamaduni za kiafrika tendo hilo ni tendo lenye muonekano kwa mwanamke kuonekana kama mtu mwenye roho ngumu na mwiko kwa mwanamke .
Akiwa kama Afisa Jinsia anayehusika na maswala ya kijinsia hasa watoto na wanawake anasikitishwa sana kuona jamii imebadilika hususani aibu ya mwanamke  haionekani hasa kwenye kufanya maovu  .
Mfano mzuri sakata la kutumika kwa madawa ya kulevya  kwa sasa ni kama  biashara  na matumizi mfano mzuri ni sakata la wanawake wengi maarufu kutumia madawa ya kulevya mfano mzuri ni Masogange na Melisa kukamatwa kule Afrika Kusini na
Jack Patrick ambaye alikamatwa Hongkong china Decemba 19 mwaka 2013 ambaye pia ni mwanamitindo na alikuwa  Miss Ilala Namba 3, 2005, alikamatwa na madawa aina ya Heroin yenye uzito wa kilo 1.1 yakiwa na thamani ya zaidi ya shilingi milioni 223 kwa kuhifadhiwa ndani ya kete 57.

Shani amewataka wanawake na wasichina wanaotumia madawa ya kulevya kutokana na sababu mbalimbali waache kabisa  na kujihusisha na shughuli mbalimbali za kuleta maendeleo.
Shani amesema kwa kushirikiana na waandishi wa habari atahakikisha mambo ya kijamii hasa kwa watoto na kina mama yanakuwa katika mstari wa mbele katika kuyaandika ,kuyaonyesha na wanajamii kuyasikia  yawe mabaya au mazuri ili kukosoa,kuelimisha  na kukemea ili kuleta maendeleo ndani ya nchi.
Kwani kauli mbiu ya kitaifa  mwaka  huu inasema chochea mabadiliko kuleta usawa wa kijinsia ambapo kwa mkoa wa Mwanza maandamano yataanza kuanzia Nyakato sokoni paka shule ya msingi Nyakato kata ya Mahina.





Thailand does have the death penalty for various offences. Here are examples of crimes which may get a convicted offender sentenced to execution by the state.

Antiretroviral resistance could increase if untreated HIV-infected individuals exposed to antiretroviral medication

August 28, 2013 — A new study led by researchers at Harvard School of Public Health (HSPH) calls attention to a new street drug being used in South Africa. Known as whoonga, the drug cocktail may combine HIV antiretroviral (ARV) medication with illicit drugs. Believed to be extremely addictive, whoonga appears to have a devastating impact on those who use it—including children—and has the potential to complicate efforts to combat the HIV epidemic
Utumiaji wa madawa ya kulevya ni mojawapo ya mabalaa makubwa yanayoathiri binaadamu na ulimwengu kijumla.  Watu wengi wameathiriwa na janga hili biladi/miji zetu
illustration of a neuron
Drugs of abuse alter the way people think, feel, and behave by disrupting neurotransmission, the process of communication between brain cells. Over the past few decades, studies have established that drug dependence and addiction are features of an organic brain disease caused by drugs' cumulative impacts on neurotransmission. Scientists continue to build on this essential understanding with experiments to further elucidate the physiological bases for drug abuse vulnerability as well as the full dimensions and progression of the disease. The findings provide powerful leads to new medications and behavioral treatments.
This second article in our NIDA Notes Reference Series discusses the central importance of studying drugs' effects on neurotransmission and describes some of the most common experimental methods used in this research. As with other articles in the series, we provide illustrative references from articles published in NIDA Notes.

What is Neurotransmission?

A person reads. The words on the page enter the brain through the eyes and are transformed into information that is relayed, from cell to cell, to regions that process visual input and attach meaning and memory. When inside cells, the information takes the form of an electrical signal. To cross the tiny intercellular gap that separates one cell from the next, the information takes the form of a chemical signal. The specialized chemicals that carry the signals across the intercellular gaps, or synapses, are called neurotransmitters.
The ebb and flow of neurotransmitters—neurotransmission—is thus an essential feature of the brain's response to experience and the environment. To grasp the basic idea of neurotransmission, compare the brain to a computer. A computer consists of basic units (semiconductors) that are organized into circuits; it processes information by relaying electric current from unit to unit; the amount of current and its route through the circuitry determine the final output. The brain's corresponding basic units are the neurons—100 billion of them; the brain relays information from neuron to neuron using electricity and neurotransmitters; the volume of these signals and their routes through the organ determine what we perceive, think, feel, and do.
Of course, the brain, a living organ, is much more complex and capable than any machine. Brain cells respond with greater versatility to more types of input than any semiconductor; they also can change, grow, and reconfigure their own circuits.

Neuroscientists seeking to understand why a drug is abused and the consequences of that abuse focus on two issues:
Kikosi Kazi cha Kupambana na Dawa za Kulevya, Uwanja wa Ndege wa Dar es Salam (JNIA) jana kilimkamata mwanamke mmoja, Salama Omari Muzara akiwa amemeza kete za dawa za kulevya aina ya Heroin ambazo idadi yake kamili haijajulikana.
Kamishna wa Polisi Kitengo cha Kupambana na Dawa za Kulevya, Godfrey Nzowa alisema, msichana huyo alikamatwa jana saa saba mchana akiwa njiani kuelekea Macao, China na Shirika la Ndege la Ethiopia.
“Alikuwa anasafiri kwenda Macao, China kwa ndege ya Ethiopian Airlines ambayo ilikuwa iondoke saa 10 jioni ndipo kikosi kazi cha polisi uwanja wa ndege kikamshuku kuwa amebeba kitu kisicho cha kawaida” alisema Nzowa.
Nzowa alisema, mwanamke huyo alikuwa na hati ya kusafiria namba AB548242 ambayo ilitolewa Oktoba mwaka jana na haikufahamika idadi kamili ya pipi alizomeza kwani mpaka sasa bado anazitoa. Nzowa alisema mpaka sasa mwanamke huyo tayari ameshatoa pipi kadhaa tangu alipokamatwa jana mchana ambapo kuanzia asubuhi leo hadi saa saba mchana huu ameshatoa pipi 27.
Kamishna Nzowa alisema hiyo ni sehemu tu ya mapambano ya dawa za kulevya nchini ambayo imesaidia kupunguza kwa kiasi kikubwa wasafirishaji na watumiaji wa dawa hizo.
Hivi karibuni, Mwanamitindo wa Tanzania, Jackline Cliff alikamatwa na kete 66 za dawa za kulevya aina ya heroin zenye thamani ya dola za Marekani 137,720 huko Macao, China.
Mwanamitindo huyo , aliyekuwa akisafiri kutoka Thailand akielekea Macao aliwaambia polisi kuwa alikuwa anaelekea Guangzhou ambao ni mji wa jimbo la Guangdong huko China.
Kamanda Nzowa alisema kikosi chake kinaendelea kuwasiliana na Polisi wa Macao ili kujua iwapo ataweza kurejeshwa nchini ingawa alikiri suala hilo limekuwa gumu kwani China hawana utaratibu wa kubadilishana wafungwa.

Dar es Salaam. Anti-drugs police have arrested a man believed to be the country’s most wanted drug kingpin. Ali Khatibu Haji, popularly known as Shikuba, was arrested at Julius Nyerere International Airport (JNIA) last Sunday after two years of an intensive manhunt. The 44-year-old is considered one of the most powerful and influential drug barons in Tanzania. He is said to be the leader of a cartel operating principally in East Africa but with a reach as far as China, Brazil, Canada, Japan, the United States and the United Kingdom.

He was charged last week with trafficking in a record 210 kilograms of heroin worth around Sh10 billion. Police seized the drugs in Lindi in January 2012 and have linked him with the haul. Shikuba reportedly fled to South Africa the same day the drugs were seized and has since been in hiding.

It is not clear how he sneaked into the country and managed to get a new passport but on February 28, the manhunt paid off. Investigators had been on his trail in Dar es Salaam before cornering him at the airport as he prepared to leave the country.


He had been at the airport for an hour before officers from the anti-drugs task force descended on him and arrested him at around 1 p.m. as he was about to board a South African Airways flight. The head of the Anti-Drugs Unit (ADU), Mr Godfrey Nzowa, told The Citizen on Sunday: “It’s true that we got him. His arrest is a major milestone in our efforts to nab the big fish. He is among the suspected powerful and influential traffickers.”

Entries in his passport indicate that Shikuba had in the past two years frequented Canada, the United Kingdom, the United States, China, Japan and Brazil. The passport was issued in Zanzibar in June last year.

Shikuba has also been charged with the murder in 2007 of a young Tanzanian who died in China after reportedly swallowing drugs. According to police reports, Shikuba used the victim as a courier. He was acquitted, though, after the Director of Public Prosecution dropped the charges for lack of sufficient evidence.

Two years later, officers from ADU arrested Shikuba and asked the Ilala district court to place him under the watch of the police and courts because they had reliable information that he was a notorious drug dealer operating in and outside the country. The court ordered him to report to ADU once a month for a year. One of the security officers who took part in the arrest told The Citizen on Sunday that the suspect was “big-headed” upon his arrest. He reportedly refused to cooperate with the police and told them he would only speak in court.

After his arrest, Shikuba was driven to Central Police Station under tight security. He was taken to Lindi the following morning and charged with trafficking in drugs.

The Citizen on Sunday has reliably learnt that authorities in US and UK are also on his trail over similar accusations. Shikuba was among 12 people appearing on the list of suspected notorious drug dealers released by a Tanzanian prisoner in Hong Kong last year. He is also among 122 suspected drug dealers who were arrested between 2007 and 2008 and put under court and police supervision.

Anti-drugs officials in Tanzania have for the past year intensified the war against drug trafficking and registered significant success at transit points such as airports. Dozens have been arrested in the past year at JNIA and Kilimanjaro International Airport. Early last month, authorities impounded 201 kilograms of heroin worth $5.5 million (Sh9 billion) hidden in an Iranian ship. The development came just a few weeks after the Canadian military ship Toronto impounded 265 bags of heroin weighing more than 280kgs aboard a vessel while patrolling the Indian Ocean

Jeshi la Polisi Nchini litaendelea kupambana na vitendo vya ukatili wa kijinsia na vitendo vya mauaji yanayosababishwa na Imani za kishirikina kwa kuendelea kutoa elimu kwa jamii juu ya madhara ya vitendo hivyo.
A CORRUPT policewoman who leaked confidential intelligence to drug dealers she was having sex with has been jailed for three years
Older Posts Home

Habari za Ulimwengu (audio)

Matangazo ya Radio

Matangazo ya Radio
Aloyce Nyanda

Kutoka Bungeni

Waliokwisha Peruzi

swahilizonetz

swahilizonetz

Habari kwa Kina

Habari kwa Kina

Habari

Afrika afrika mashariki Amani na Ulinzi Asia Makala michezo Siasa Tanzania Uchumi na Biashara Ushirikiano Kimataifa
swahilizonetz. Haki zote zimehifadhiwa.
Imeendelezwa na swahilizonetz