• Home

SwahilizoneTz

  • Mwanzo
  • Tanzania
  • Afrika Mashariki
  • Kimataifa
    • Bara
      • Afrika
      • Anwani zetu
      • Asia
      • Ulaya
      • Ocenia
    • Ulinzi na Amani
    • Maendeleo
    • Afya
  • Takwimu
  • Matukio
  • michezo
  • sheria
  • Makala
  • Zaidi
    • Ripoti Maalum
    • City FM Radio
    • Picha
    • Washirika
  • Afya
Showing posts with label Asia. Show all posts
Shughuli za kutafuta manusura Nepal.

Matumaini yanadidimia nchini Napal ya kuwapata manusura zaidi baada ya kutokea kwa tetemeko baya la ardhi wiki moja iliyopita .
Msemaji wa wizara ya ndani ya nchi hiyo (Laxmi Prasad Dhakal) alisema, anafikiri kuwa hakuna uwezekano wa kupata manusura zaidi waliofukiwa chini ya vifusi.
Alisema kuwa idadi ya waliokufa sasa imezidi watu 6,600. Maelfu ya watu bado hawajulikani waliko wakiwemo raia zaidi ya 1000 kutoka nchi za ulaya.
Takriban helkopta ishirini zinashiriki katika jitihada za uokoaji katika vijiji vya mbali maeno yaliyo kaskazini mwa nchi.
CHANZO BBC
Alie wai kuwa waziri wa Nishati na Madini Mh Wiliam Ngeleja amesema Pesa za Escrow Hazikuwa pesa za  umma bali zililuwa pesa za Mtu binafsi Na aliomba msaada kama mtu mwingine vile amabvyo anaweza kuomba pesa anasema Ni kweli alipokea kiasi cha shilingi millioni arobain na laki Nne na anasema alilipa kodi millioni kumi na tatu na serkali ilipokea katika ufafnuzi wake anasema tangu lini mwizi analipa kodi kwa mamlaka na anakuwa huru akiulizwa swali na mtangazji Bwana Alloyce Nyanda Kuwa ilikuaje mpaka ukahojiwa na kamati ya Maadili kama hukuchukua pesa na Tangu lini mtu asiemwizi anaweza kuhojiwa na Kamati kulitokea nini katika kulijibu hilo Mh ngeleja alisema ni utaratibu tu wa kawaida tu mtu anaetuhumiwa kuhojiwa lakin hujasikia Kamati imesema mimi mwizi wala mahakama haijasema na Navyojua mtu mwizi huwa yupp tumande au mahakamn lakin mimi nadunda na nipo hapa katika interview yalikuwa majibu ya mh ngeleja
Kumekuwa na Malumbano baina ya Ukraine na Urusi katika Umoja wa Mataifa huku kila upande ukimshutumu mwenzake kuwa gaidi
Marekani imelaani kile imekitaja kuwa hatua ya Urusi kutumia kaiwi kama chombo cha kuishurutisha Ukraine.
Madaktari wa idara ya afya ya akili mkoani mwanza jana wameazimisha siku ya kifafa duniani
inayoadhimishwa tarehe 26 march kila mwaka duniani kote.Akizungumza na wanahabari daktari mkuu wa idara ya afya ya akili katika hosptari ya rufaa ya BUGANDO(BMC)

Jeshi la Polisi Nchini litaendelea kupambana na vitendo vya ukatili wa kijinsia na vitendo vya mauaji yanayosababishwa na Imani za kishirikina kwa kuendelea kutoa elimu kwa jamii juu ya madhara ya vitendo hivyo.
Hayo yamesemwa na Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IJP Ernest Mangu katika mkutano mkuu wa maofisa wakuu waandamizi unaoendelea katika chuo cha Taaluma ya Polisi Moshi (MPA) ukiwa na kauli mbiu isemayo “Zingatia Weledi katika Kutoa Huduma bora kwa jamii”.
JP Mangu alisema kuna baadhi ya jamii zinafanya vitendo hivyo kama tamaduni zao hivyo wao kwa kuliona hilo wataendelea kutoa elimu kwa njia mbalimbali kwa kushirikiana na Taasisi nyingine ili kuhakikisha kuwa vitendo hivyo vinakomeshwa hapa nchini.
“Tuendelee kutoa elimu kwa jamii lakini pia tutaenelea kuchukua hatua kwa wote wanaofanya makosa hayo kwa kuwa huo ni uhalifu kama ulivyo uhalifu mwingine” Alisema IJP Mangu.
Naye Kamishna wa Operesheni na Mafunzo wa Jeshi la Polisi, Paul Chagonja amewataka Makamanda wa Polisi wa mikoa kushirikiana na Taasisi nyingine za Serikali katika kutatua migogoro ya Ardhi ili kuipatia ufumbuzi mapema kabla ya vurugu kutokea jambo ambalo litaendeleza usalama hapa nchini.
Alisema ni vyema Taasisi husika kushirikiana mapema katika kutatua migogoro katika jamii kabla haijaleta madhara kwa kuwa iwapo hilo litafanyika itaepusha uharibifu na gharama ambazo hutumika katika kutatua mgogoro unapokuwa mkubwa na kusababisha vurugu.
Kwa upande wake Kamishna wa Polisi Jamii nchini Mussa Ali Mussa alisema wataendelea kutumia dhana ya Polisi Jamii katika kupambana na uhalifu kabla haujatokea kwa kuwa wananchi wameonyesha mwitikio mkubwa tangu kuanzishwa kwa dhana hiyo.
Alisema kwa Mujibu wa Utafiti uliofanywa na Jeshi la Polisi kwa kushirikiana na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kwa ufadhili wa COSTEC umeonyesha kuwa Asilimia 70 ya watanzania wamekubali dhana ya Polisi Jamii na wameonyesha kuikubali kwa kuwa imesaidia kupambana na uhalifu unaotokea katika maeneo yao.
Mkutano huo unaoendelea katika Chuo cha Taaluma ya Polisi Moshi una lengo la kujadili na kufanya tathmini ya mafanikio yaliyofikiwa mwaka 2013 pamoja na changamoto zilizopo katika kupambana na uhalifu na kuzipatia ufumbuzi kwa mwaka 2014.
ESHI la Polisi Kikosi cha Kupambana na Dawa za Kulevya limemtia mbaroni askari wa Kikosi cha KMKM, Hussein Soud Hussein (30) baada ya kukamatwa na dawa za kulevya jumla ya kete 270 katika eneo la Darajabovu mjini Zanzibar.
Naibu Mkurugenzi wa Makosa ya Upelelezi na Makosa ya Jinai Yussuf Ilembo alithibitisha kukamatwa kwa askari huyo na kusema inasikitisha sana kuona askari ambaye ndio tegemeo la kupambana na vita dhidi ya dawa za kulevya anajishughulisha na biashara hiyo haramu.
Mkuu wa Jeshi la Polisi Zanzibar, Kamishna Mussa Ali Mussa

“Ni kweli tumemkamata kijana mmoja Hussein Soud Hussein ambaye baada ya kumfanyia usaili alikiri na kuthibitisha kwamba yeye ni askari wa Kikosi cha KMKM na tuliona kitambulisho chake,” alisema Ilembo.
Ilembo alisema askari huyo alikamatwa ikiwa sehemu ya msako unaoendelea wa Jeshi la Polisi pamoja na Kikosi cha Kupambana na Dawa za Kulevya kuwatafuta wauzaji na wasambazaji wa dawa hizo.
Kukamatwa kwa askari huyo kunatokana na taarifa kutoka kwa raia wema ambao walichukizwa na tabia yake ya kufanya biashara ya dawa za kulevya wakati akiwa askari wa ulinzi.
Alisema kwa sasa Polisi wapo katika doria endelevu ya kuwatafuta vijana wanaofanya biashara ya dawa za kulevya katika maeneo ya mjini na vijijini.
Taarifa zaidi ziliopo sasa kwa mujibu wa Jeshi la Polisi ni kwamba biashara ya dawa za kulevya hufanywa zaidi vijijini kutokana na msako wa Polisi Jamii ulioshamiri mjini ambao hautoi nafasi kwa wafanyabiashara hao kufanya kazi zao kwa ufanisi mkubwa.
Chanzo: Habari Leo
WANAWAKE DAY


KAULI MBIU YA MWAKA 2014




CHOCHOEA MABADILIKO KULETA USAWA WA KIJINSIA


Afisa Jinsia wa Chama Cha Waandishi wa Habari wa kupiga vita madawa ya kulevya (OJADACT) Shani Saidi Amanzi amewataka wanawake siku hiyo iwe ni siku pekee ya kuonyesha uelewa wao mjini tu bali waweze kuwakumbuka na wanawake walio vijijini .
Shani amesema wanawake wengi kwa sasa wanaupeo mkubwa wa mambo mbalimbali na wanajitambua mfano mzuri ni bunge la katiba pia usawa wa wanawake na wanaume umetendeka kuwepo bungeni.
Aidha sakata kubwa linalowapa doa wanawake kwa sasa ni matumizi ya madawa ya kulevya ambapo kwa tamaduni za kiafrika tendo hilo ni tendo lenye muonekano kwa mwanamke kuonekana kama mtu mwenye roho ngumu na mwiko kwa mwanamke .
Akiwa kama Afisa Jinsia anayehusika na maswala ya kijinsia hasa watoto na wanawake anasikitishwa sana kuona jamii imebadilika hususani aibu ya mwanamke  haionekani hasa kwenye kufanya maovu  .
Mfano mzuri sakata la kutumika kwa madawa ya kulevya  kwa sasa ni kama  biashara  na matumizi mfano mzuri ni sakata la wanawake wengi maarufu kutumia madawa ya kulevya mfano mzuri ni Masogange na Melisa kukamatwa kule Afrika Kusini na
Jack Patrick ambaye alikamatwa Hongkong china Decemba 19 mwaka 2013 ambaye pia ni mwanamitindo na alikuwa  Miss Ilala Namba 3, 2005, alikamatwa na madawa aina ya Heroin yenye uzito wa kilo 1.1 yakiwa na thamani ya zaidi ya shilingi milioni 223 kwa kuhifadhiwa ndani ya kete 57.

Shani amewataka wanawake na wasichina wanaotumia madawa ya kulevya kutokana na sababu mbalimbali waache kabisa  na kujihusisha na shughuli mbalimbali za kuleta maendeleo.
Shani amesema kwa kushirikiana na waandishi wa habari atahakikisha mambo ya kijamii hasa kwa watoto na kina mama yanakuwa katika mstari wa mbele katika kuyaandika ,kuyaonyesha na wanajamii kuyasikia  yawe mabaya au mazuri ili kukosoa,kuelimisha  na kukemea ili kuleta maendeleo ndani ya nchi.
Kwani kauli mbiu ya kitaifa  mwaka  huu inasema chochea mabadiliko kuleta usawa wa kijinsia ambapo kwa mkoa wa Mwanza maandamano yataanza kuanzia Nyakato sokoni paka shule ya msingi Nyakato kata ya Mahina.




Death Penalty Statistics : 25th February 2014

Total number of prisoners condemned to death 685 persons
Male                       630 persons
Female                     55 persons
 

Total                       685 persons

Antiretroviral resistance could increase if untreated HIV-infected individuals exposed to antiretroviral medication

August 28, 2013 — A new study led by researchers at Harvard School of Public Health (HSPH) calls attention to a new street drug being used in South Africa. Known as whoonga, the drug cocktail may combine HIV antiretroviral (ARV) medication with illicit drugs. Believed to be extremely addictive, whoonga appears to have a devastating impact on those who use it—including children—and has the potential to complicate efforts to combat the HIV epidemic
In an open space near the railway in the South African township of Soweto, several young men and women in their early twenties are smoking nyaope, a new drug cocktail.
Some look like the walking dead they are so stoned.
Moshi.Raia watatu wa kigeni waliokamatwa hivi karibuni kwa nyakati tofauti katika Uwanja wa Ndege wa Kilimanjaro (KIA), wakituhumiwa kusafirisha dawa za kulevya wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi na kusomewa mashtaka matatu tofauti
Kikosi Kazi cha Kupambana na Dawa za Kulevya, Uwanja wa Ndege wa Dar es Salam (JNIA) jana kilimkamata mwanamke mmoja, Salama Omari Muzara akiwa amemeza kete za dawa za kulevya aina ya Heroin ambazo idadi yake kamili haijajulikana.
Kamishna wa Polisi Kitengo cha Kupambana na Dawa za Kulevya, Godfrey Nzowa alisema, msichana huyo alikamatwa jana saa saba mchana akiwa njiani kuelekea Macao, China na Shirika la Ndege la Ethiopia.
“Alikuwa anasafiri kwenda Macao, China kwa ndege ya Ethiopian Airlines ambayo ilikuwa iondoke saa 10 jioni ndipo kikosi kazi cha polisi uwanja wa ndege kikamshuku kuwa amebeba kitu kisicho cha kawaida” alisema Nzowa.
Nzowa alisema, mwanamke huyo alikuwa na hati ya kusafiria namba AB548242 ambayo ilitolewa Oktoba mwaka jana na haikufahamika idadi kamili ya pipi alizomeza kwani mpaka sasa bado anazitoa. Nzowa alisema mpaka sasa mwanamke huyo tayari ameshatoa pipi kadhaa tangu alipokamatwa jana mchana ambapo kuanzia asubuhi leo hadi saa saba mchana huu ameshatoa pipi 27.
Kamishna Nzowa alisema hiyo ni sehemu tu ya mapambano ya dawa za kulevya nchini ambayo imesaidia kupunguza kwa kiasi kikubwa wasafirishaji na watumiaji wa dawa hizo.
Hivi karibuni, Mwanamitindo wa Tanzania, Jackline Cliff alikamatwa na kete 66 za dawa za kulevya aina ya heroin zenye thamani ya dola za Marekani 137,720 huko Macao, China.
Mwanamitindo huyo , aliyekuwa akisafiri kutoka Thailand akielekea Macao aliwaambia polisi kuwa alikuwa anaelekea Guangzhou ambao ni mji wa jimbo la Guangdong huko China.
Kamanda Nzowa alisema kikosi chake kinaendelea kuwasiliana na Polisi wa Macao ili kujua iwapo ataweza kurejeshwa nchini ingawa alikiri suala hilo limekuwa gumu kwani China hawana utaratibu wa kubadilishana wafungwa.

Dar es Salaam. Anti-drugs police have arrested a man believed to be the country’s most wanted drug kingpin. Ali Khatibu Haji, popularly known as Shikuba, was arrested at Julius Nyerere International Airport (JNIA) last Sunday after two years of an intensive manhunt. The 44-year-old is considered one of the most powerful and influential drug barons in Tanzania. He is said to be the leader of a cartel operating principally in East Africa but with a reach as far as China, Brazil, Canada, Japan, the United States and the United Kingdom.

He was charged last week with trafficking in a record 210 kilograms of heroin worth around Sh10 billion. Police seized the drugs in Lindi in January 2012 and have linked him with the haul. Shikuba reportedly fled to South Africa the same day the drugs were seized and has since been in hiding.

It is not clear how he sneaked into the country and managed to get a new passport but on February 28, the manhunt paid off. Investigators had been on his trail in Dar es Salaam before cornering him at the airport as he prepared to leave the country.


He had been at the airport for an hour before officers from the anti-drugs task force descended on him and arrested him at around 1 p.m. as he was about to board a South African Airways flight. The head of the Anti-Drugs Unit (ADU), Mr Godfrey Nzowa, told The Citizen on Sunday: “It’s true that we got him. His arrest is a major milestone in our efforts to nab the big fish. He is among the suspected powerful and influential traffickers.”

Entries in his passport indicate that Shikuba had in the past two years frequented Canada, the United Kingdom, the United States, China, Japan and Brazil. The passport was issued in Zanzibar in June last year.

Shikuba has also been charged with the murder in 2007 of a young Tanzanian who died in China after reportedly swallowing drugs. According to police reports, Shikuba used the victim as a courier. He was acquitted, though, after the Director of Public Prosecution dropped the charges for lack of sufficient evidence.

Two years later, officers from ADU arrested Shikuba and asked the Ilala district court to place him under the watch of the police and courts because they had reliable information that he was a notorious drug dealer operating in and outside the country. The court ordered him to report to ADU once a month for a year. One of the security officers who took part in the arrest told The Citizen on Sunday that the suspect was “big-headed” upon his arrest. He reportedly refused to cooperate with the police and told them he would only speak in court.

After his arrest, Shikuba was driven to Central Police Station under tight security. He was taken to Lindi the following morning and charged with trafficking in drugs.

The Citizen on Sunday has reliably learnt that authorities in US and UK are also on his trail over similar accusations. Shikuba was among 12 people appearing on the list of suspected notorious drug dealers released by a Tanzanian prisoner in Hong Kong last year. He is also among 122 suspected drug dealers who were arrested between 2007 and 2008 and put under court and police supervision.

Anti-drugs officials in Tanzania have for the past year intensified the war against drug trafficking and registered significant success at transit points such as airports. Dozens have been arrested in the past year at JNIA and Kilimanjaro International Airport. Early last month, authorities impounded 201 kilograms of heroin worth $5.5 million (Sh9 billion) hidden in an Iranian ship. The development came just a few weeks after the Canadian military ship Toronto impounded 265 bags of heroin weighing more than 280kgs aboard a vessel while patrolling the Indian Ocean

A CORRUPT policewoman who leaked confidential intelligence to drug dealers she was having sex with has been jailed for three years.

 
             
                
WPC Rebecca Swanston was warned about her relationships with criminals

WPC Rebecca Swanston was warned about her relationships with criminals
WPC Rebecca Swanston, 28, sabotaged her force’s investigations and stopped them catching the men “heavily involved” in class A drug supply, Winchester Crown Court heard.
The Hampshire officer even allowed one dealer to leave a “massive bag” of crack cocaine and heroin on a table in her house.
She was warned about her relationships with criminals after a photograph of her with one was spotted on a website.
Hampshire Constabulary launched an anti-corruption probe into her behaviour and installed a listening device at her home in Southampton.
police, policewoman, officer, criminal, jailed, sex, drugs, leaked, intelligence, dealers, drugThe WPC was jailed for three years after sabotaging her force's investigations
Swanston’s corrupt behaviour and reckless associations with criminals went utterly against the values of honesty and integrity required of her as a police officer
Detective Superintendent Colin Smith
It recorded her discussing police operations with the criminals – as well as having sex with some of them.
Swanston, who was based at Southampton central police station, was arrested during a raid on her house on October 18 last year.
Jailing her yesterday, Judge Jane Miller, QC, said: “You embarked on a course of self-destructive behaviour, starting relationships with not just one man known to be a criminal but four different men.
“Once in these relationships, you started on a course of criminal behaviour yourself.
“Your offences have damaged police operations.”
Detective Superintendent Colin Smith, head of Hampshire Constabulary’s professional standards department, said: “Swanston’s corrupt behaviour and reckless associations with criminals went utterly against the values of honesty and integrity required of her as a police officer.”
Nairobi (AFP) - A court in Kenya on Tuesday slapped a record sentence on a Chinese ivory smuggler, the first person to be convicted under tough new laws designed to stem a surge in poaching.



Picha inajieleza yenyewe tuungane kuyapiga vita kwa pamoja mimi wewe na yule.



Hivi ndio huwa mambo yanavyokuwa kwa wabebaji wa madawa ya kulevya(maarufu kwa jina la Punda) ni hatari sana kwa afya ya Binadamu, kijana tuungane kwa pamoja kupinga biashara hii haramu na hatari sana tukishirikiana kwa pamoja na Serikali kwa pamoja tunaweza kutokomeza madawa haya haramu na hatari sana kwa jamii yetu.




Hii ni picha ya x ray inayoonesha ndani ya tumbo madawa aliobeba.




Yanavyoweza kuathili baadhi ya sehemu katika mwili.



Operation ikifanyika tayari kuyaondoa madawa hayo yaliompelekea kijana huyu kufariki.



Operation ikiendelea hatari sana ndugu zangu.



Baada ya utumbo kutolewa tayali kuanza kuyatoa madawa hayo.



Kama uonavyo yakiwa ndani ya utumbo mpana.



Yakianza kutolewa pamoja na kushafishwa jinsi unavyoona katika picha.



Baada ya utumbo kuchanwa tayari kwa kutoa keti hizo.



Kabla mtu ajazimeza zinakuwa hivi sasa ebu fikilia mtu anameza kete elfu 5 jamani hii ni hatari .

Crew members of HMAS Melbourne with seized drugs prior to them being destroyed. Photo: ABIS JAYSON TUFREY
The Australian Associated Press reports that on Friday, Australian warship HMAS Melbourne made another multimillion dollar drug bust on the high seas off Tanzania, the second in a week following the seizure and destruction of 385 kilogrammes of heroin from a vessel in the same area on February 5th, 2014.

The two big drug hauls are estimated to be worth more than A$1 billion in a street value.

In October, the ship disrupted a pirate gang off Somalia and then made three amphetamine busts, totalling 23.8 kilograms.

After testing, seized drugs are usually destroyed by dumping them overboard.
Email This Share to Twitter Share to Facebook
SIKU chache baada ya mrembo wa video ya wimbo wa Binti Kiziwi wa Ally Mohammed ‘Z.  Anto’, Sandra Khan ‘Binti Kiziwi’ kutiwa nguvuni kwa tuhuma za kunaswa na madawa ya kulevya nchini China, Jacqueline Patrick ‘Jack’ ambaye ni modo kiwango Bongo, amesema anajua kila kitu kuhusu tukio la kukamatwa kwake

Akizungumza na mwandishi wetu katika mahojiano maalum juzi, jijini Dar es Salaam kuhusu uvumi ulioenea kwamba yeye ndiye aliyemchoma Binti Kiziwi kwa polisi na kusababisha kudakwa kwake, alisema tuhuma hizo si za kweli bali ni mbinu za watu wanaotaka kumchafua.

“Ngoja nikuambie ukweli, siku Binti Kiziwi anakamatwa mimi nilikuwepo uwanja wa ndege na niliona kila kitu. Unajua mwanzo alianza kulalamikia tumbo kumsumbua ghafla, akachukuliwa na kupelekwa kupewa huduma ya kwanza.

“Akiwa huko kwenye matibabu alipigwa ultrasound ndipo alipogundulika kuwa kumbe alikuwa na vitu tumboni.

Katika hali kama hiyo unadhani ni mjinga gani anaweza kujitokeza na kudai huyo ni ndugu yake?”

“Mimi sijui chochote lakini nilichojua yule ni Binti Kiziwi na ni Mtanzania mwenzangu, tena staa kama mimi kwa hiyo sikuwa na sababu ya kumchoma ila ilivyogundulika hivyo nisingeweza kujitokeza maana na mimi pia ningetakiwa kuisaidia polisi kwenye uchunguzi.

“Kubwa kuliko yote, yeye ni ndugu yangu kabisa. Mama yake na mama yangu ni ndugu, nisingeweza kumchoma.”

“Jambo la muhimu nililoamua kufanya ilikuwa ni kutoa taarifa kwa ndugu zake wengine ili waweze kumsaidia.

 Nilifanya hivyo kwa wakati. Siku zote nimekuwa karibu naye, hata nikienda China huwa nakwenda kumtembelea gerezani,” alisema Jack.
Wanawake wawili raia wa Tanzania wametambuliwa kuwa ndiyo wanaodaiwa kuingiza shehena ya dawa za kulevya zenye thamani ya zaidi ya Sh. bilioni 6.8 nchini Afrika Kusini wakitokea Tanzania.
Older Posts Home

Habari za Ulimwengu (audio)

Matangazo ya Radio

Matangazo ya Radio
Aloyce Nyanda

Kutoka Bungeni

Waliokwisha Peruzi

swahilizonetz

swahilizonetz

Habari kwa Kina

Habari kwa Kina

Habari

Afrika afrika mashariki Amani na Ulinzi Asia Makala michezo Siasa Tanzania Uchumi na Biashara Ushirikiano Kimataifa
swahilizonetz. Haki zote zimehifadhiwa.
Imeendelezwa na swahilizonetz