Kundi la waasi wa M23 katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
linaituhumu serikali ya nchi hiyo kwa kukiuka sheria ya msamaha kwa
waasi wa kundi hilo.
Taarifa iliyotolewa na Tawi la Kisiasa la kundi la M23 imesisitiza
kwamba serikali ya Kongo kabla ya kutangaza msamaha, ilitoa orodha ya
majina ya mamia ya wanachama wa kundi hilo akiwemo Jenerali Sultani
Makenga na baadhi ya makamanda wengine wa kundi hiyo, na kueleza kwamba
watu hao hawana sifa za kupewa msamaha. Taarifa hiyo imeeleza kuwa,
hatua ya kutayarishwa orodha hiyo inakinzana waziwazi na taarifa ya
pamoja iliyotolewa Nairobi, Kenya pamoja na msamaha waliopewa waasi wa
kundi hilo.
Inafaa kuashiria hapa kuwa, mwezi Februari mwaka huu, Rais Joseph
Kabila wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo alitangaza msamaha kwa waasi
wote wa kundi la M23, isipokuwa wale waliotenda jinai za kivita na
zilizo dhidi ya binadamu.

BUSEGA.
Watu 10 wamekufa papo hapo na mwingine kupoteza maisha alipokuwa akipelekwa hospitali baada ya basi walilokuwa wakisafiria kupata ajali mkoani Simiyu.
Ajali hiyo ilitokea eneo la Itwilima A, Kata ya Kilorei, Wilaya ya Busega baada ya basi hilo la Luheye lifanyalo safari zake kati ya Bunda na Mwanza kupata hitilafu na kugonga mti na baadaye nyumba.
Akizungumza katika Hospitali ya Wilaya ya Magu jana, Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Pascal Mabiti alisema watu waliokufa ni 11 na majeruhi 44.
Mabiti alisema mtu mmoja aliyefariki wakati akipelekwa katika Hospitali ya Rufaa ya Bugando jina lake bado lina utata... “Jina la huyu mama ambaye ameacha watoto watatu; Joyce Wilson (6), Jenipher Wilson (3) na Jack (miezi miwili), wametwambia mama yao alikuwa anaitwa Lucia Wilson, lakini taarifa tulizopata kutoka Bugando zinasema alikuwa anaitwa Fodia Guniniga.”
Alisema majeruhi 19 ni wanawake na 25 wanaume na kwamba, wachache wamelazwa katika Hospitali ya Wilaya ya Magu lakini wengi walipelekwa Bugando kutokana na hali zao kuwa mbaya. “Natoa wito kwa wananchi kwenda Hospitali ya Bugando Mwanza kutambua maiti. Miili ya watu wote waliokufa tumeihifadhi hapo na hakuna aliyetambuliwa zaidi ya huyo mama ambaye ameacha watoto watatu,” alisema.
Shuhuda wa ajali hiyo, Paulina Ruge (57) ambaye ni mmiliki wa nyumba iliyogongwa na basi hilo, alisema ilitokea kati ya saa 4:30 na 5:00 asubuhi.
Alisema baada ya ajali alishuhudia ikitolewa miili ya watu 10 waliokufa.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Simiyu, Charles Mkumbo alisema baada ya kutokea ajali hiyo dereva ambaye jina lake halijafahamika alikimbia na polisi wanaendelea kumtafuta.MWANANCHI
Uchunguzi wa kina wa Swahilizone umethibitisha kuwa baadhi ya
wakazi wa mpaka wa Niger na Nigeria wamekuwa wakishirikiana na
wapiganaji wa Boko Haram ili walipwe pesa.
Nchi zilizo jirani na Nigeria, kama Niger,
Cameroon, na Chad zinahofia kuwa harakati za wanamgambo hao zitaathiri
usalama wa nchi hizo.Kulingana na Thomas Fessy ambaye amekuwa akiongoza uchunguzi huo akiwa eneo la Diffa kusini mashariki mwa Niger katika mpaka na Nigeria, wanachama wa genge hilo ambao wengi wao ni vijana walio na umri wa miaka kati ya 20 na 25 wameiambia BBC kuuwa vikundi vyao vitano vimeshajiunga na Boko Haram; na wawili tayari walishauawa katika operation walizojihusisha nazo.

Mpaka kati ya Niger na Nigeria.
Lakini wamesisitiza wao hawana haja na kupigania uwepo wa sheria za kiislamu , haja yao ni hizo pesa.
Maafisa wa usalama katika eneo hilo wanasema wamemudu kuzuia mashambulio kadhaa katika kipindi cha mwezi mmoja uliopita na watu kadhaa wanaoaminika kuwa na uhusiano na Boko Haram wamekamatwa.
Ni dhahiri kuwa Boko Haram wanaendeleza vitendo vyao vya kikatili hadi kuvuka mpaka wa Nigeria.
Umoja wa mataifa unasema tayari watu wapatao 50,000 washavuka mpaka kuingia Niger kujaribu.
Kumekuwa na Malumbano baina ya Ukraine na Urusi katika Umoja wa Mataifa huku kila upande ukimshutumu mwenzake kuwa gaidi
Madaktari wa idara ya afya ya akili mkoani mwanza jana wameazimisha siku ya kifafa duniani
inayoadhimishwa tarehe 26 march kila mwaka duniani kote.Akizungumza na wanahabari daktari mkuu wa idara ya afya ya akili katika hosptari ya rufaa ya BUGANDO(BMC)
inayoadhimishwa tarehe 26 march kila mwaka duniani kote.Akizungumza na wanahabari daktari mkuu wa idara ya afya ya akili katika hosptari ya rufaa ya BUGANDO(BMC)
ESHI
la Polisi Kikosi cha Kupambana na Dawa za Kulevya limemtia mbaroni
askari wa Kikosi cha KMKM, Hussein Soud Hussein (30) baada ya kukamatwa
na dawa za kulevya jumla ya kete 270 katika eneo la Darajabovu mjini
Zanzibar.
Naibu
Mkurugenzi wa Makosa ya Upelelezi na Makosa ya Jinai Yussuf Ilembo
alithibitisha kukamatwa kwa askari huyo na kusema inasikitisha sana
kuona askari ambaye ndio tegemeo la kupambana na vita dhidi ya dawa za
kulevya anajishughulisha na biashara hiyo haramu.
![]() |
Mkuu wa Jeshi la Polisi Zanzibar, Kamishna Mussa Ali Mussa |
“Ni
kweli tumemkamata kijana mmoja Hussein Soud Hussein ambaye baada ya
kumfanyia usaili alikiri na kuthibitisha kwamba yeye ni askari wa Kikosi
cha KMKM na tuliona kitambulisho chake,” alisema Ilembo.
Ilembo
alisema askari huyo alikamatwa ikiwa sehemu ya msako unaoendelea wa
Jeshi la Polisi pamoja na Kikosi cha Kupambana na Dawa za Kulevya
kuwatafuta wauzaji na wasambazaji wa dawa hizo.
Kukamatwa
kwa askari huyo kunatokana na taarifa kutoka kwa raia wema ambao
walichukizwa na tabia yake ya kufanya biashara ya dawa za kulevya wakati
akiwa askari wa ulinzi.
Alisema
kwa sasa Polisi wapo katika doria endelevu ya kuwatafuta vijana
wanaofanya biashara ya dawa za kulevya katika maeneo ya mjini na
vijijini.
Taarifa
zaidi ziliopo sasa kwa mujibu wa Jeshi la Polisi ni kwamba biashara ya
dawa za kulevya hufanywa zaidi vijijini kutokana na msako wa Polisi
Jamii ulioshamiri mjini ambao hautoi nafasi kwa wafanyabiashara hao
kufanya kazi zao kwa ufanisi mkubwa.
Chanzo: Habari Leo
Antiretroviral resistance could increase if untreated HIV-infected individuals exposed to antiretroviral medication
August 28, 2013 — A new study led by researchers at Harvard School of Public Health (HSPH) calls attention to a new street drug being used in South Africa. Known as whoonga, the drug cocktail may combine HIV antiretroviral (ARV) medication with illicit drugs. Believed to be extremely addictive, whoonga appears to have a devastating impact on those who use it—including children—and has the potential to complicate efforts to combat the HIV epidemic
This second article in our NIDA Notes Reference Series discusses the central importance of studying drugs' effects on neurotransmission and describes some of the most common experimental methods used in this research. As with other articles in the series, we provide illustrative references from articles published in NIDA Notes.
What is Neurotransmission?
A person reads. The words on the page enter the brain through the eyes and are transformed into information that is relayed, from cell to cell, to regions that process visual input and attach meaning and memory. When inside cells, the information takes the form of an electrical signal. To cross the tiny intercellular gap that separates one cell from the next, the information takes the form of a chemical signal. The specialized chemicals that carry the signals across the intercellular gaps, or synapses, are called neurotransmitters.The ebb and flow of neurotransmitters—neurotransmission—is thus an essential feature of the brain's response to experience and the environment. To grasp the basic idea of neurotransmission, compare the brain to a computer. A computer consists of basic units (semiconductors) that are organized into circuits; it processes information by relaying electric current from unit to unit; the amount of current and its route through the circuitry determine the final output. The brain's corresponding basic units are the neurons—100 billion of them; the brain relays information from neuron to neuron using electricity and neurotransmitters; the volume of these signals and their routes through the organ determine what we perceive, think, feel, and do.
Of course, the brain, a living organ, is much more complex and capable than any machine. Brain cells respond with greater versatility to more types of input than any semiconductor; they also can change, grow, and reconfigure their own circuits.
Neuroscientists seeking to understand why a drug is abused and the consequences of that abuse focus on two issues:
Kikosi Kazi cha Kupambana na Dawa za Kulevya, Uwanja wa Ndege wa Dar es Salam (JNIA) jana kilimkamata mwanamke mmoja, Salama Omari Muzara akiwa amemeza kete za dawa za kulevya aina ya Heroin ambazo idadi yake kamili haijajulikana.
A CORRUPT policewoman who leaked confidential intelligence to drug dealers she was having sex with has been jailed for three years
The fellowship is designed for a woman journalist from anywhere in the world whose work in print, broadcast, or digital media has focused on human rights and social justice reporting. This seven month-long program will take her to Boston and New York to study at MIT’s Center for International Studies and work for U.S. media outlets including The Boston Globe and The New York Times.
Now in its 10th year, the fellowship was named for the 1998 IWMF Courage in Journalism Award winner and The Boston Globe correspondent Elizabeth Neuffer,
Now in its 10th year, the fellowship was named for the 1998 IWMF Courage in Journalism Award winner and The Boston Globe correspondent Elizabeth Neuffer,
A CORRUPT policewoman who leaked confidential intelligence to drug dealers she was having sex with has been jailed for three years.

WPC Rebecca Swanston was warned about her relationships with criminals
WPC Rebecca Swanston, 28, sabotaged her force’s investigations and stopped them catching the men “heavily involved” in class A drug supply, Winchester Crown Court heard.
The Hampshire officer even allowed one dealer to leave a “massive bag” of crack cocaine and heroin on a table in her house.
She was warned about her relationships with criminals after a photograph of her with one was spotted on a website.
Hampshire Constabulary launched an anti-corruption probe into her behaviour and installed a listening device at her home in Southampton.

Swanston’s corrupt behaviour and reckless associations with criminals went utterly against the values of honesty and integrity required of her as a police officerDetective Superintendent Colin Smith
It recorded her discussing police operations with the criminals – as well as having sex with some of them.
Swanston, who was based at Southampton central police station, was arrested during a raid on her house on October 18 last year.
Jailing her yesterday, Judge Jane Miller, QC, said: “You embarked on a course of self-destructive behaviour, starting relationships with not just one man known to be a criminal but four different men.
“Once in these relationships, you started on a course of criminal behaviour yourself.
“Your offences have damaged police operations.”
Detective Superintendent Colin Smith, head of Hampshire Constabulary’s professional standards department, said: “Swanston’s corrupt behaviour and reckless associations with criminals went utterly against the values of honesty and integrity required of her as a police officer.”