Kumekuwa na Malumbano baina ya Ukraine na Urusi katika Umoja wa Mataifa huku kila upande ukimshutumu mwenzake kuwa gaidi

Jeshi
la Polisi Nchini litaendelea kupambana na vitendo vya ukatili wa
kijinsia na vitendo vya mauaji yanayosababishwa na Imani za kishirikina
kwa kuendelea kutoa elimu kwa jamii juu ya madhara ya vitendo hivyo.
Hayo yamesemwa na Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IJP Ernest Mangu katika mkutano mkuu wa maofisa wakuu waandamizi unaoendelea katika chuo cha Taaluma ya Polisi Moshi (MPA) ukiwa na kauli mbiu isemayo “Zingatia Weledi katika Kutoa Huduma bora kwa jamii”.
Hayo yamesemwa na Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IJP Ernest Mangu katika mkutano mkuu wa maofisa wakuu waandamizi unaoendelea katika chuo cha Taaluma ya Polisi Moshi (MPA) ukiwa na kauli mbiu isemayo “Zingatia Weledi katika Kutoa Huduma bora kwa jamii”.
JP
Mangu alisema kuna baadhi ya jamii zinafanya vitendo hivyo kama tamaduni
zao hivyo wao kwa kuliona hilo wataendelea kutoa elimu kwa njia
mbalimbali kwa kushirikiana na Taasisi nyingine ili kuhakikisha kuwa
vitendo hivyo vinakomeshwa hapa nchini.
“Tuendelee kutoa elimu kwa jamii lakini pia tutaenelea kuchukua hatua kwa wote wanaofanya makosa hayo kwa kuwa huo ni uhalifu kama ulivyo uhalifu mwingine” Alisema IJP Mangu.
Naye Kamishna wa Operesheni na Mafunzo wa Jeshi la Polisi, Paul Chagonja amewataka Makamanda wa Polisi wa mikoa kushirikiana na Taasisi nyingine za Serikali katika kutatua migogoro ya Ardhi ili kuipatia ufumbuzi mapema kabla ya vurugu kutokea jambo ambalo litaendeleza usalama hapa nchini.
Alisema ni vyema Taasisi husika kushirikiana mapema katika kutatua migogoro katika jamii kabla haijaleta madhara kwa kuwa iwapo hilo litafanyika itaepusha uharibifu na gharama ambazo hutumika katika kutatua mgogoro unapokuwa mkubwa na kusababisha vurugu.
Kwa upande wake Kamishna wa Polisi Jamii nchini Mussa Ali Mussa alisema wataendelea kutumia dhana ya Polisi Jamii katika kupambana na uhalifu kabla haujatokea kwa kuwa wananchi wameonyesha mwitikio mkubwa tangu kuanzishwa kwa dhana hiyo.
Alisema kwa Mujibu wa Utafiti uliofanywa na Jeshi la Polisi kwa kushirikiana na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kwa ufadhili wa COSTEC umeonyesha kuwa Asilimia 70 ya watanzania wamekubali dhana ya Polisi Jamii na wameonyesha kuikubali kwa kuwa imesaidia kupambana na uhalifu unaotokea katika maeneo yao.
Mkutano huo unaoendelea katika Chuo cha Taaluma ya Polisi Moshi una lengo la kujadili na kufanya tathmini ya mafanikio yaliyofikiwa mwaka 2013 pamoja na changamoto zilizopo katika kupambana na uhalifu na kuzipatia ufumbuzi kwa mwaka 2014.
“Tuendelee kutoa elimu kwa jamii lakini pia tutaenelea kuchukua hatua kwa wote wanaofanya makosa hayo kwa kuwa huo ni uhalifu kama ulivyo uhalifu mwingine” Alisema IJP Mangu.
Naye Kamishna wa Operesheni na Mafunzo wa Jeshi la Polisi, Paul Chagonja amewataka Makamanda wa Polisi wa mikoa kushirikiana na Taasisi nyingine za Serikali katika kutatua migogoro ya Ardhi ili kuipatia ufumbuzi mapema kabla ya vurugu kutokea jambo ambalo litaendeleza usalama hapa nchini.
Alisema ni vyema Taasisi husika kushirikiana mapema katika kutatua migogoro katika jamii kabla haijaleta madhara kwa kuwa iwapo hilo litafanyika itaepusha uharibifu na gharama ambazo hutumika katika kutatua mgogoro unapokuwa mkubwa na kusababisha vurugu.
Kwa upande wake Kamishna wa Polisi Jamii nchini Mussa Ali Mussa alisema wataendelea kutumia dhana ya Polisi Jamii katika kupambana na uhalifu kabla haujatokea kwa kuwa wananchi wameonyesha mwitikio mkubwa tangu kuanzishwa kwa dhana hiyo.
Alisema kwa Mujibu wa Utafiti uliofanywa na Jeshi la Polisi kwa kushirikiana na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kwa ufadhili wa COSTEC umeonyesha kuwa Asilimia 70 ya watanzania wamekubali dhana ya Polisi Jamii na wameonyesha kuikubali kwa kuwa imesaidia kupambana na uhalifu unaotokea katika maeneo yao.
Mkutano huo unaoendelea katika Chuo cha Taaluma ya Polisi Moshi una lengo la kujadili na kufanya tathmini ya mafanikio yaliyofikiwa mwaka 2013 pamoja na changamoto zilizopo katika kupambana na uhalifu na kuzipatia ufumbuzi kwa mwaka 2014.
ESHI
la Polisi Kikosi cha Kupambana na Dawa za Kulevya limemtia mbaroni
askari wa Kikosi cha KMKM, Hussein Soud Hussein (30) baada ya kukamatwa
na dawa za kulevya jumla ya kete 270 katika eneo la Darajabovu mjini
Zanzibar.
Naibu
Mkurugenzi wa Makosa ya Upelelezi na Makosa ya Jinai Yussuf Ilembo
alithibitisha kukamatwa kwa askari huyo na kusema inasikitisha sana
kuona askari ambaye ndio tegemeo la kupambana na vita dhidi ya dawa za
kulevya anajishughulisha na biashara hiyo haramu.
![]() |
Mkuu wa Jeshi la Polisi Zanzibar, Kamishna Mussa Ali Mussa |
“Ni
kweli tumemkamata kijana mmoja Hussein Soud Hussein ambaye baada ya
kumfanyia usaili alikiri na kuthibitisha kwamba yeye ni askari wa Kikosi
cha KMKM na tuliona kitambulisho chake,” alisema Ilembo.
Ilembo
alisema askari huyo alikamatwa ikiwa sehemu ya msako unaoendelea wa
Jeshi la Polisi pamoja na Kikosi cha Kupambana na Dawa za Kulevya
kuwatafuta wauzaji na wasambazaji wa dawa hizo.
Kukamatwa
kwa askari huyo kunatokana na taarifa kutoka kwa raia wema ambao
walichukizwa na tabia yake ya kufanya biashara ya dawa za kulevya wakati
akiwa askari wa ulinzi.
Alisema
kwa sasa Polisi wapo katika doria endelevu ya kuwatafuta vijana
wanaofanya biashara ya dawa za kulevya katika maeneo ya mjini na
vijijini.
Taarifa
zaidi ziliopo sasa kwa mujibu wa Jeshi la Polisi ni kwamba biashara ya
dawa za kulevya hufanywa zaidi vijijini kutokana na msako wa Polisi
Jamii ulioshamiri mjini ambao hautoi nafasi kwa wafanyabiashara hao
kufanya kazi zao kwa ufanisi mkubwa.
Chanzo: Habari Leo
Antiretroviral resistance could increase if untreated HIV-infected individuals exposed to antiretroviral medication
August 28, 2013 — A new study led by researchers at Harvard School of Public Health (HSPH) calls attention to a new street drug being used in South Africa. Known as whoonga, the drug cocktail may combine HIV antiretroviral (ARV) medication with illicit drugs. Believed to be extremely addictive, whoonga appears to have a devastating impact on those who use it—including children—and has the potential to complicate efforts to combat the HIV epidemic
This second article in our NIDA Notes Reference Series discusses the central importance of studying drugs' effects on neurotransmission and describes some of the most common experimental methods used in this research. As with other articles in the series, we provide illustrative references from articles published in NIDA Notes.
What is Neurotransmission?
A person reads. The words on the page enter the brain through the eyes and are transformed into information that is relayed, from cell to cell, to regions that process visual input and attach meaning and memory. When inside cells, the information takes the form of an electrical signal. To cross the tiny intercellular gap that separates one cell from the next, the information takes the form of a chemical signal. The specialized chemicals that carry the signals across the intercellular gaps, or synapses, are called neurotransmitters.The ebb and flow of neurotransmitters—neurotransmission—is thus an essential feature of the brain's response to experience and the environment. To grasp the basic idea of neurotransmission, compare the brain to a computer. A computer consists of basic units (semiconductors) that are organized into circuits; it processes information by relaying electric current from unit to unit; the amount of current and its route through the circuitry determine the final output. The brain's corresponding basic units are the neurons—100 billion of them; the brain relays information from neuron to neuron using electricity and neurotransmitters; the volume of these signals and their routes through the organ determine what we perceive, think, feel, and do.
Of course, the brain, a living organ, is much more complex and capable than any machine. Brain cells respond with greater versatility to more types of input than any semiconductor; they also can change, grow, and reconfigure their own circuits.
Neuroscientists seeking to understand why a drug is abused and the consequences of that abuse focus on two issues:
Kikosi Kazi cha Kupambana na Dawa za Kulevya, Uwanja wa Ndege wa Dar es
Salam (JNIA) jana kilimkamata mwanamke mmoja, Salama Omari Muzara akiwa
amemeza kete za dawa za kulevya aina ya Heroin ambazo idadi yake kamili
haijajulikana.
Kamishna wa Polisi Kitengo cha Kupambana na Dawa za Kulevya, Godfrey
Nzowa alisema, msichana huyo alikamatwa jana saa saba mchana akiwa
njiani kuelekea Macao, China na Shirika la Ndege la Ethiopia.
“Alikuwa anasafiri kwenda Macao, China kwa ndege ya Ethiopian Airlines
ambayo ilikuwa iondoke saa 10 jioni ndipo kikosi kazi cha polisi uwanja
wa ndege kikamshuku kuwa amebeba kitu kisicho cha kawaida” alisema
Nzowa.
Nzowa alisema, mwanamke huyo alikuwa na hati ya kusafiria namba AB548242
ambayo ilitolewa Oktoba mwaka jana na haikufahamika idadi kamili ya
pipi alizomeza kwani mpaka sasa bado anazitoa. Nzowa alisema mpaka sasa
mwanamke huyo tayari ameshatoa pipi kadhaa tangu alipokamatwa jana
mchana ambapo kuanzia asubuhi leo hadi saa saba mchana huu ameshatoa
pipi 27.
Kamishna Nzowa alisema hiyo ni sehemu tu ya mapambano ya dawa za kulevya
nchini ambayo imesaidia kupunguza kwa kiasi kikubwa wasafirishaji na
watumiaji wa dawa hizo.
Hivi karibuni, Mwanamitindo wa Tanzania, Jackline Cliff alikamatwa na
kete 66 za dawa za kulevya aina ya heroin zenye thamani ya dola za
Marekani 137,720 huko Macao, China.
Mwanamitindo huyo , aliyekuwa akisafiri kutoka Thailand akielekea Macao
aliwaambia polisi kuwa alikuwa anaelekea Guangzhou ambao ni mji wa jimbo
la Guangdong huko China.
Kamanda Nzowa alisema kikosi chake kinaendelea kuwasiliana na Polisi wa
Macao ili kujua iwapo ataweza kurejeshwa nchini ingawa alikiri suala
hilo limekuwa gumu kwani China hawana utaratibu wa kubadilishana
wafungwa.
Dar es Salaam. Anti-drugs police have
arrested a man believed to be the country’s most wanted drug kingpin.
Ali Khatibu Haji, popularly known as Shikuba, was arrested at Julius
Nyerere International Airport (JNIA) last Sunday after two years of an
intensive manhunt. The 44-year-old is considered one of the most
powerful and influential drug barons in Tanzania. He is said to be the
leader of a cartel operating principally in East Africa but with a reach
as far as China, Brazil, Canada, Japan, the United States and the
United Kingdom.
He was charged last week with trafficking in a record 210 kilograms of heroin worth around Sh10 billion. Police seized the drugs in Lindi in January 2012 and have linked him with the haul. Shikuba reportedly fled to South Africa the same day the drugs were seized and has since been in hiding.
It is not clear how he sneaked into the country and managed to get a new passport but on February 28, the manhunt paid off. Investigators had been on his trail in Dar es Salaam before cornering him at the airport as he prepared to leave the country.
He was charged last week with trafficking in a record 210 kilograms of heroin worth around Sh10 billion. Police seized the drugs in Lindi in January 2012 and have linked him with the haul. Shikuba reportedly fled to South Africa the same day the drugs were seized and has since been in hiding.
It is not clear how he sneaked into the country and managed to get a new passport but on February 28, the manhunt paid off. Investigators had been on his trail in Dar es Salaam before cornering him at the airport as he prepared to leave the country.
He had been at the airport for an hour before officers from the anti-drugs task force descended on him and arrested him at around 1 p.m. as he was about to board a South African Airways flight. The head of the Anti-Drugs Unit (ADU), Mr Godfrey Nzowa, told The Citizen on Sunday: “It’s true that we got him. His arrest is a major milestone in our efforts to nab the big fish. He is among the suspected powerful and influential traffickers.”
Entries in his passport indicate that Shikuba had in the past two years frequented Canada, the United Kingdom, the United States, China, Japan and Brazil. The passport was issued in Zanzibar in June last year.
Shikuba has also been charged with the murder in 2007 of a young Tanzanian who died in China after reportedly swallowing drugs. According to police reports, Shikuba used the victim as a courier. He was acquitted, though, after the Director of Public Prosecution dropped the charges for lack of sufficient evidence.
Two years later, officers from ADU arrested Shikuba and asked the Ilala district court to place him under the watch of the police and courts because they had reliable information that he was a notorious drug dealer operating in and outside the country. The court ordered him to report to ADU once a month for a year. One of the security officers who took part in the arrest told The Citizen on Sunday that the suspect was “big-headed” upon his arrest. He reportedly refused to cooperate with the police and told them he would only speak in court.
After his arrest, Shikuba was driven to Central Police Station under tight security. He was taken to Lindi the following morning and charged with trafficking in drugs.
The Citizen on Sunday has reliably learnt that authorities in US and UK are also on his trail over similar accusations. Shikuba was among 12 people appearing on the list of suspected notorious drug dealers released by a Tanzanian prisoner in Hong Kong last year. He is also among 122 suspected drug dealers who were arrested between 2007 and 2008 and put under court and police supervision.
Anti-drugs officials in Tanzania have for the past year intensified the war against drug trafficking and registered significant success at transit points such as airports. Dozens have been arrested in the past year at JNIA and Kilimanjaro International Airport. Early last month, authorities impounded 201 kilograms of heroin worth $5.5 million (Sh9 billion) hidden in an Iranian ship. The development came just a few weeks after the Canadian military ship Toronto impounded 265 bags of heroin weighing more than 280kgs aboard a vessel while patrolling the Indian Ocean
SIKU chache baada ya mrembo wa video ya
wimbo wa Binti Kiziwi wa Ally Mohammed ‘Z. Anto’, Sandra Khan ‘Binti
Kiziwi’ kutiwa nguvuni kwa tuhuma za kunaswa na madawa ya kulevya nchini
China, Jacqueline Patrick ‘Jack’ ambaye ni modo kiwango Bongo, amesema
anajua kila kitu kuhusu tukio la kukamatwa kwake
Akizungumza na mwandishi wetu katika mahojiano maalum juzi, jijini Dar es Salaam kuhusu uvumi ulioenea kwamba yeye ndiye aliyemchoma Binti Kiziwi kwa polisi na kusababisha kudakwa kwake, alisema tuhuma hizo si za kweli bali ni mbinu za watu wanaotaka kumchafua.
“Ngoja nikuambie ukweli, siku Binti Kiziwi anakamatwa mimi nilikuwepo uwanja wa ndege na niliona kila kitu. Unajua mwanzo alianza kulalamikia tumbo kumsumbua ghafla, akachukuliwa na kupelekwa kupewa huduma ya kwanza.
“Akiwa huko kwenye matibabu alipigwa ultrasound ndipo alipogundulika kuwa kumbe alikuwa na vitu tumboni.
Katika hali kama hiyo unadhani ni mjinga gani anaweza kujitokeza na kudai huyo ni ndugu yake?”
“Mimi sijui chochote lakini nilichojua yule ni Binti Kiziwi na ni Mtanzania mwenzangu, tena staa kama mimi kwa hiyo sikuwa na sababu ya kumchoma ila ilivyogundulika hivyo nisingeweza kujitokeza maana na mimi pia ningetakiwa kuisaidia polisi kwenye uchunguzi.
“Kubwa kuliko yote, yeye ni ndugu yangu kabisa. Mama yake na mama yangu ni ndugu, nisingeweza kumchoma.”
“Jambo la muhimu nililoamua kufanya ilikuwa ni kutoa taarifa kwa ndugu zake wengine ili waweze kumsaidia.
Nilifanya hivyo kwa wakati. Siku zote nimekuwa karibu naye, hata nikienda China huwa nakwenda kumtembelea gerezani,” alisema Jack.
Akizungumza na mwandishi wetu katika mahojiano maalum juzi, jijini Dar es Salaam kuhusu uvumi ulioenea kwamba yeye ndiye aliyemchoma Binti Kiziwi kwa polisi na kusababisha kudakwa kwake, alisema tuhuma hizo si za kweli bali ni mbinu za watu wanaotaka kumchafua.
“Ngoja nikuambie ukweli, siku Binti Kiziwi anakamatwa mimi nilikuwepo uwanja wa ndege na niliona kila kitu. Unajua mwanzo alianza kulalamikia tumbo kumsumbua ghafla, akachukuliwa na kupelekwa kupewa huduma ya kwanza.
“Akiwa huko kwenye matibabu alipigwa ultrasound ndipo alipogundulika kuwa kumbe alikuwa na vitu tumboni.
Katika hali kama hiyo unadhani ni mjinga gani anaweza kujitokeza na kudai huyo ni ndugu yake?”
“Mimi sijui chochote lakini nilichojua yule ni Binti Kiziwi na ni Mtanzania mwenzangu, tena staa kama mimi kwa hiyo sikuwa na sababu ya kumchoma ila ilivyogundulika hivyo nisingeweza kujitokeza maana na mimi pia ningetakiwa kuisaidia polisi kwenye uchunguzi.
“Kubwa kuliko yote, yeye ni ndugu yangu kabisa. Mama yake na mama yangu ni ndugu, nisingeweza kumchoma.”
“Jambo la muhimu nililoamua kufanya ilikuwa ni kutoa taarifa kwa ndugu zake wengine ili waweze kumsaidia.
Nilifanya hivyo kwa wakati. Siku zote nimekuwa karibu naye, hata nikienda China huwa nakwenda kumtembelea gerezani,” alisema Jack.
Nairobi (AFP) - A court in Kenya
on Tuesday slapped a record sentence on a Chinese ivory smuggler, the
first person to be convicted under tough new laws designed to stem a
surge in poaching.

Picha inajieleza yenyewe tuungane kuyapiga vita kwa pamoja mimi wewe na yule.
Hivi
ndio huwa mambo yanavyokuwa kwa wabebaji wa madawa ya kulevya(maarufu
kwa jina la Punda) ni hatari sana kwa afya ya Binadamu, kijana tuungane
kwa pamoja kupinga biashara hii haramu na hatari sana tukishirikiana kwa
pamoja na Serikali kwa pamoja tunaweza kutokomeza madawa haya haramu na
hatari sana kwa jamii yetu.

Hii ni picha ya x ray inayoonesha ndani ya tumbo madawa aliobeba.

Yanavyoweza kuathili baadhi ya sehemu katika mwili.

Operation ikifanyika tayari kuyaondoa madawa hayo yaliompelekea kijana huyu kufariki.

Operation ikiendelea hatari sana ndugu zangu.

Baada ya utumbo kutolewa tayali kuanza kuyatoa madawa hayo.

Kama uonavyo yakiwa ndani ya utumbo mpana.

Yakianza kutolewa pamoja na kushafishwa jinsi unavyoona katika picha.

Baada ya utumbo kuchanwa tayari kwa kutoa keti hizo.

Kabla mtu ajazimeza zinakuwa hivi sasa ebu fikilia mtu anameza kete elfu 5 jamani hii ni hatari .
Akiwa ameficha madawa ya kulevya aina ya Heroin ndani ya lap top. Jamaa alipita kwenye zile screens pale airport ,kupita tu jamaa wakahisi laptop ina kitu sababu ilikuwa nzito sana ,so wakaitoa wakajaribu kuiwasha wakaona laptop ni mbovu haiwaki ndo wakahisi kuna kamchezo hapo so wakaifungua wakakutaka na 800 grams za heroin....
Jamaa kesha plead guilty and he is facing up to 40yrs in jail....
Habari ikaongeza kuwa watanzania ni among wengi waliokamatwa hapo Los Angeles airport (LAX) wakiwa na madawa ya kulevya..OMG.....OMG...What is happening to our beloved country????
Watuhumiwa waliokuwa na mwili wa marehemu Khalid Kitala katika kituo kikuu cha polisi Morogoro. |
Mwili wa marehemu Khalid Kitala (47) muda mfupi kabla ya kuifanyia uchunguzi
Watuhumiwa wakipanda gari la polisi tayari kwenda kituo kikuu cha polisi.
Kete zilitolewa katika gari baada ya kupekuliwa
Hapa kuna kete aina mbili zinaonekana katika hii picha, za juu nyeupe sana ndizo zilitopatikana katika gari baada ya kupekuliwa na hizo za rangi kama njano kwa mbali ndizo zilitotolewa katika tumbo la marehemu baada ya kupasuliwa.
Hapa kuna kete aina mbili zinaonekana katika hii picha, za juu nyeupe sana ndizo zilitopatikana katika gari baada ya kupekuliwa na hizo za rangi kama njano kwa mbali ndizo zilitotolewa katika tumbo la marehemu baada ya kupasuliwa.
Huyo ni Dk Lyamuya ambaye aliwapiga chenga waandishi wakati wakimtaka
kueleza alichoona wakati wa uchunguzi wa maiti aliyepasuliwa tumbo ili
kuweza kubaini kama ni kweli maiti ilikuwa na kete zinazodaiwa kuwa ni
madawa ya kulevya lakini baadaye aliongea nao
Hati za kusafirisia, hiyo ya njano ni ile iliyokuwa ikitumiwa na marehemu Khalid.
Huyo ndiye anayedaiwa kuwa ndiye ndugu wa marehemu, hizo ni karoti wakati wa zoezi la upekuaji.
![]() |
Crew members of HMAS Melbourne with seized drugs prior to them being destroyed. Photo: ABIS JAYSON TUFREY |
The two big drug hauls are estimated to be worth more than A$1 billion in a street value.
In October, the ship disrupted a pirate gang off Somalia and then made three amphetamine busts, totalling 23.8 kilograms.
After testing, seized drugs are usually destroyed by dumping them overboard.
SIKU chache baada ya mrembo wa video ya
wimbo wa Binti Kiziwi wa Ally Mohammed ‘Z. Anto’, Sandra Khan ‘Binti
Kiziwi’ kutiwa nguvuni kwa tuhuma za kunaswa na madawa ya kulevya nchini
China, Jacqueline Patrick ‘Jack’ ambaye ni modo kiwango Bongo, amesema
anajua kila kitu kuhusu tukio la kukamatwa kwake
Akizungumza na mwandishi wetu katika mahojiano maalum juzi, jijini Dar es Salaam kuhusu uvumi ulioenea kwamba yeye ndiye aliyemchoma Binti Kiziwi kwa polisi na kusababisha kudakwa kwake, alisema tuhuma hizo si za kweli bali ni mbinu za watu wanaotaka kumchafua.
“Ngoja nikuambie ukweli, siku Binti Kiziwi anakamatwa mimi nilikuwepo uwanja wa ndege na niliona kila kitu. Unajua mwanzo alianza kulalamikia tumbo kumsumbua ghafla, akachukuliwa na kupelekwa kupewa huduma ya kwanza.
“Akiwa huko kwenye matibabu alipigwa ultrasound ndipo alipogundulika kuwa kumbe alikuwa na vitu tumboni.
Katika hali kama hiyo unadhani ni mjinga gani anaweza kujitokeza na kudai huyo ni ndugu yake?”
“Mimi sijui chochote lakini nilichojua yule ni Binti Kiziwi na ni Mtanzania mwenzangu, tena staa kama mimi kwa hiyo sikuwa na sababu ya kumchoma ila ilivyogundulika hivyo nisingeweza kujitokeza maana na mimi pia ningetakiwa kuisaidia polisi kwenye uchunguzi.
“Kubwa kuliko yote, yeye ni ndugu yangu kabisa. Mama yake na mama yangu ni ndugu, nisingeweza kumchoma.”
“Jambo la muhimu nililoamua kufanya ilikuwa ni kutoa taarifa kwa ndugu zake wengine ili waweze kumsaidia.
Nilifanya hivyo kwa wakati. Siku zote nimekuwa karibu naye, hata nikienda China huwa nakwenda kumtembelea gerezani,” alisema Jack.
Akizungumza na mwandishi wetu katika mahojiano maalum juzi, jijini Dar es Salaam kuhusu uvumi ulioenea kwamba yeye ndiye aliyemchoma Binti Kiziwi kwa polisi na kusababisha kudakwa kwake, alisema tuhuma hizo si za kweli bali ni mbinu za watu wanaotaka kumchafua.
“Ngoja nikuambie ukweli, siku Binti Kiziwi anakamatwa mimi nilikuwepo uwanja wa ndege na niliona kila kitu. Unajua mwanzo alianza kulalamikia tumbo kumsumbua ghafla, akachukuliwa na kupelekwa kupewa huduma ya kwanza.
“Akiwa huko kwenye matibabu alipigwa ultrasound ndipo alipogundulika kuwa kumbe alikuwa na vitu tumboni.
Katika hali kama hiyo unadhani ni mjinga gani anaweza kujitokeza na kudai huyo ni ndugu yake?”
“Mimi sijui chochote lakini nilichojua yule ni Binti Kiziwi na ni Mtanzania mwenzangu, tena staa kama mimi kwa hiyo sikuwa na sababu ya kumchoma ila ilivyogundulika hivyo nisingeweza kujitokeza maana na mimi pia ningetakiwa kuisaidia polisi kwenye uchunguzi.
“Kubwa kuliko yote, yeye ni ndugu yangu kabisa. Mama yake na mama yangu ni ndugu, nisingeweza kumchoma.”
“Jambo la muhimu nililoamua kufanya ilikuwa ni kutoa taarifa kwa ndugu zake wengine ili waweze kumsaidia.
Nilifanya hivyo kwa wakati. Siku zote nimekuwa karibu naye, hata nikienda China huwa nakwenda kumtembelea gerezani,” alisema Jack.