Msimu wenye maridi kali kuwahi kushuhudiwa nchini
Marekani katika miongo miwli iliyopita, unaelekea kupiga maeneo ya
Kusini na Mashariki mwa nchi hiyo.
Miji ya New York na Washington ni miongoni mwa
miji ambayo imekumbwa na theluji pamoja na baridi kali inayokuja kwa
upepo mkali kutoka katika bahari ya Arctic.Hali hii mbaya ya hewa imelazimisha kufungwa kwa shule huku biashara nyingi zikitatizika hata na safari za ndege pia zimekatizwa pakubwa.
Mamilioni ya watu wameonywa wasitoke nje.
Eneo lenye baridi kali ni Babbitt na Minessota. Theluji hiyo imesababishwa na hewa yenye baridi kali inayotoka katika bahari ya Arctic.
chanzo bbc
0 Maoni Kuhusu Habari Hii