MTANZANIA AKAMATWA NA MADAWA YA KULEVYA MAREKANI......SERIOUSLY??SERIOUSLY???


Haya mkaka wa Kibongo kwa jina la Joseph Mackubi (I think wamekosea kuspell last name yake) amekamatwa Los Angeles airport (LAX)
Akiwa ameficha madawa ya kulevya aina ya Heroin ndani ya lap top. Jamaa alipita kwenye zile screens pale airport ,kupita tu jamaa wakahisi laptop ina kitu sababu ilikuwa nzito sana ,so wakaitoa wakajaribu kuiwasha wakaona laptop ni mbovu haiwaki ndo wakahisi kuna kamchezo hapo so wakaifungua wakakutaka na 800 grams za heroin....
Jamaa kesha plead guilty and he is facing up to 40yrs in jail....
Habari ikaongeza  kuwa watanzania ni among wengi waliokamatwa hapo Los Angeles airport (LAX) wakiwa na madawa ya kulevya..OMG.....OMG...What is happening to our beloved country????
Vielezo: , , , , , , ,

Swahili Zone

Tovuti huru habarishi (blogu) inayoendeshwa kiueledi yenye lengo mahususi la kuifikishia jamii habari, makala na matukio wakati muafaka inapowezekana kufanya hivyo!

0 Maoni Kuhusu Habari Hii

Andika Maoni Yako