Susan:Zari Katufanya Tusahau Stars wetu

Mwanadada Mrembo kutoka Rock city mwanza Susan sechuma A.K.A suziety ameibuka na kusema Mrembo wa Kiganda Zari Hassan  a.k.a Rarithe boss lady kuwa anawafanya watanzania kuwasahau mastar wao . Susy Anasema kitendo cha vyombo vya Habari kuremba kila mara kwenye Tv na radio sio sawa, Anasema kila mara ni habari za zari na Diamomd ndo kusema Wema au wolper hawana kipya , susan sechuma anasema Hii inatufanya tuweze kuwasahau mastar wetu kama vile wema,
Suz aliwai kuwa mwigizaji na alifanya kazi kadhaa kabla ya kuamua kujiunga na chuo kikuu cha Sauti cha jiji mwanza. Na kwa sasa yupo anafanya kazi zake binafsi huko jijini mwanza

Vielezo: , ,

Swahili Zone

Tovuti huru habarishi (blogu) inayoendeshwa kiueledi yenye lengo mahususi la kuifikishia jamii habari, makala na matukio wakati muafaka inapowezekana kufanya hivyo!

0 Maoni Kuhusu Habari Hii

Andika Maoni Yako