P-SQUARE WAAHIDI KUFANYA MAKAMUZI KWA SAA 2 JUKWAANI

Mkurugenzi wa Masoko wa Vodacom, Kelvin Twissa (kushoto),akiongea jambo kwenye kikao cha waandishi wa habari,wakati wa kuwatambulisha wasanii wa kundi la P-Square,wanaotarajiwa kufanya shoo kesho ndani ya viwanja vya Leaders Club Kinondoni jijini Dar es Salaam, ambapo tamasha hilo limeandaliwa kwa udhamini wa mtandao wa Vodacom.
Wasanii wa P-Square, wakiwa kwenye pozi na Lady Jaydee,Profesa Jay,Beny Pol na Joh Makini.
chanzo globalpublisher
Vielezo:

Swahili Zone

Tovuti huru habarishi (blogu) inayoendeshwa kiueledi yenye lengo mahususi la kuifikishia jamii habari, makala na matukio wakati muafaka inapowezekana kufanya hivyo!

0 Maoni Kuhusu Habari Hii

Andika Maoni Yako