![]() |
ZITTO KABWE NA WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA PICHA MAKTABA YA BUNGE |
,
Hayo ameyasema mapema hii leo wakati akizungumza na wanahabari jijini Daresalaam, Zito amesema tuhuma ambazo zimeelekezwa kwake kwa kweli zimemfadhaisha sana na kumsumbua sana kimawazo huku tuhuma hizo zikiwa hazina ukweli wowote juu yake,
Kuhusu Walaka zito ameukana waraka huo kuwa hautambui nakwamba watu walioandaa waraka huo walikuwa na lengo la kuwagombanisha chama hicho kikuu ambacho kwa sasa wakati wa uchugazi unakaribia watu wanaamua kuwachanganya
Zito na Dr Mkumbo kupitia kwa wakili wao, wamemtaka mwanasheria mkuu wa chama cha chadema kuudhilishia ummma kwa namna gani watumiwa wametenda kosa kwa kuleta mbele ushahidi usio wa mashaka ili watuhumiwa nao wajibu kwa siku hizo kumi na nne ambazo wateja wake wamepewa,
Aidha mwanasheria kwa upande wake amesema kwa sasa wateja wake hawana haja ya kujibu hoja yoyote kwani tuhuma ambazo zimetaja kwa wametaja wake haziko kimaandishi na badala yake yamesikika kupita vyombo vya habari
Chama kina utaratibu wake wa kupashana habari, sio kwa kutumia vyombo vya habari ndio iwe taarifa rasmi kwa kwa wanachama wake, aliongeza Bwana Albart ambaye pia ni Diwani kwa tiketi ya chama hicho
0 Maoni Kuhusu Habari Hii