![]() |
Raja Bizzle |
Baada ya kukaa kimya kwa muda Mrefu
mwanamziki Rajab Shaban a.k.a Raja Bizzle ameamua kuachia ngoma mpya
inayokwenda kwa jina “Nitakujali”alio washirikisha wasanii wakongwe Bwana Misosi na Sajna iliyotengenezwa na Producer
Sam Timba wapenzi wa muziki wa Bongo fleva Mkae mkao wa kula kwa bonge la video
kanda ziwa.
Na:lonely Nzali”Mwanza”
0 Maoni Kuhusu Habari Hii